WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
Zanzibar, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akipata maelezo juu ya ujenzi wa tuta la
kuzuwia maji Chumvi lenye urefu wa mita 1600, lililogharimu zaidi ya Milioni
300, kutoka kwa afisa umwagiliaji Pemba Mbarouk Ali Mgau, huko katika bonde la
Koowe Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TUTA la kuzuwia maji chumvi lenye urefu wa mita
urefu wa mita 1600, likiwa limejengwa katika bonde la Koowe Wilaya ya Micheweni
Kisiwani Pemba, ambapo kwa sasa wananchi wameweza kurudi katika shughuli zao za
kilimo baada ya kujengwa kwa tuta hilo.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akizungumza jambo mara baada ya kupewa
maelezo juu ya ujenzi wa tuta la kuzuwia maji Chumvi huko katika Bonde la Koowe
shehia ya Wingwi Wilaya ya Micheweni.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment