Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jenerali
Venance Mabeyo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Tanzania, Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Luteni Jenerali
James Mwakibolwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna
Jenerali Juma Malewa kuwa Kamishna Jenerali wa Magereza, Ikulu Jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Luteni Jenerali Paul Meela
kuwa Balozi nchini DRC Congo, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Samuel Shelukindo kuwa
Balozi nchini Ufaransa, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Nyakimura Muhoji kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimvisha cheo Luteni Jenerali Venance Mabeyo kuwa Jenerali kabla ya kumuapisha
kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi kwenye Ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es
salaam.

Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimvisha cheo Meja Jenerali James Makibolwa kuwa Luteni Jenerali kabla
ya kumuapisha kuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi kwenye Ukumbi wa mikutano
wa Ikulu jijini Dar es salaam.
Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi ya Tanzania Jenerali Venance Mabeyo
mara baada ya tukio la uapisho lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akitoa hutuba fupi baada ya hafla ya kuapishwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo (hayupopichani) katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam leo (katikati waliokaa) Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed
Shein akizungumza mara baada ya tukio la Uapisho wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
ya Tanzania pamoja na Viongozi mbalimbali
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza masuala
mbalimbali mara baada ya kumuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi pamoja viongozi
wengine wa Jeshi na Mabalozi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza masuala
mbalimbali mara baada ya kumuapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi pamoja viongozi
wengine wa Jeshi na Mabalozi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein (wakwanza kushoto), Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa wapili kulia pamoja na Mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi ya Tanzania
Jenerali Venance Mabeyo mara baada ya uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika picha na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein (watatu kutoka
kushoto), Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wanne kutoka (kulia) , Katibu Mkuu
Kiongozi Balozi John Kijazi (wakwanza kushoto), Mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi
ya Tanzania Jenerali Venance Mabeyo(watatu kutoka kulia ), Mnadhimu Mkuu wa
Majeshi ya Ulinzi Luteni Jenerali James Mwakibolwa (wapili kutoka kushoto), Kamishna Jenerali wa Magereza Juma Malewa(wapili
kutoka kulia) pamoja na Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma(wakwanza
kulia) Ikulu jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu Jenerali Devis Mwamunyange (katikati) Mkuu wa Majeshi Mpya Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Dkt.Juma Ali Malewa (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa wateule hao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu Jenerali Devis Mwamunyange (katikati) Mkuu wa Majeshi Mpya Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Dkt.Juma Ali Malewa (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa wateule hao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akifurahia jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Ernest Mangu mara baada ya tukio la
Uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
(Picha na Ikulu)












0 Comments