Gari la Baraza la Manispa Zanzibar likiwa katika zoezi la kuliondoa gari
lililoegeshwa katika eneo lisilo stahiki kwa matumizi ya maegesho ya magari katika eneo hilo la majestiki.
MAVUNDE AIAGIZA TUME YA MADINI KUWASILISHA ORODHA YA WAZALISHAJI WA MADINI
ILI KUWAKUTANISHA NA BENKI RAFIKI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
SERIKALI imeiagiza Tume ya Madini kuwasilisha orodha ya wazalishaji wote
waliopo nchini ili iweze kuwasaidia kuwakuta...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment