Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akisalimiana na mgeni wake Meneja wa China Harbour Engineering Company Ltd Nd,Xu Xinpei alipowasili katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja kwa mazungumzo leo,[Picha na Ikulu.] 10/08/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na mgeni wake Meneja wa China Harbour Engineering Company Ltd Nd,Xu Xinpei wakati alipowasili katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja kwa mazungumzo leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akifuatana na mgeni wake Meneja wa China Harbour Engineering Company Ltd Nd,Xu Xinpei baada ya mazungumzo yao wakati alipowasili katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment