Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de
Fevereiro, Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 23 Novemba 2025. Makamu wa
Rais, anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan katika Mkutano wa 7 wa Kilele wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na
Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), utakaofanyika tarehe 24 na 25 Novemba 2025
Jijini Luanda..jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Angola
Mhe. Manuel Homem wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Quatro de Fevereiro, Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 23 Novemba 2025.
Makamu wa Rais, anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 7 wa Kilele wa Viongozi wa Umoja wa
Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), utakaofanyika tarehe 24 na 25 Novemba
2025 Jijini Luanda.

.jpg)

No comments:
Post a Comment