Zanzibar Heroes Yatoa Dozi Kwa Kilimanjaro stars Michuano ya Chalenji Nchini Kenya ya Mabao. 2 - 1.

 Kikosi cha Taifa cha Zanzibar Heroes iliyoitoa kamasi Kilimanjaro Stars katika Michuano ya Kombe la Chalenji Nchini kenya jana na kutoka na ushindi wa bao 2 - 1,mchezo uliofanyika uwanja wa machakosi Nairobi.
Mfungaji wa bao la ushindi kwa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes akishangilia bao lake lililoizamisha Timu ya taifa ya ZaKilimanjaro Stars.

Post a Comment

0 Comments