Kikosi cha Taifa cha Zanzibar Heroes iliyoitoa kamasi Kilimanjaro Stars katika Michuano ya Kombe la Chalenji Nchini kenya jana na kutoka na ushindi wa bao 2 - 1,mchezo uliofanyika uwanja wa machakosi Nairobi.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment