Habari za Punde

Balozi Seif aweka jiwe la msingi jengo la la Wizara tatu pacha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Shamra shamra za Miaka 54 ya Mapinduzi

 JENGO la Wizara tatu pacha za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Vijana Wazee, Wanawake na watoto, Wizara ya Fedha na Mipango na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sherea Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar, lililowekewa jiwe la msingi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika Shamra shamra za Miaka 54 ya Mapinduzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Khamis Mussa Omar mara baada ya kulikagua jengo la Wizara tatu Pacha lililopo Gombani Nje ya mji wa Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi, jengo la Wizara tatu Pacha za SMZ, linalojengwa na kampuni ya QBC ambalo linatarajiw akugharimu Bilioni 7.8, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali wakiwemo Wajumbe wa baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakimsikiliza kwa makini makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Balozi Seif Ali wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Chake Chake, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi jengo la Wizara tatu Pacha, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali wakiwemo Wajumbe wa baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakimsikiliza kwa makini makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Balozi Seif Ali wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Chake Chake, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi jengo la Wizara tatu Pacha, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 MAWAZIRI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi wakiongoza na waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakimsikiliza kwa makini hutuba ya makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi la jengo la Wizara tatau pacha, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KATIBU mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar Khamis Mussa Omar, akisoma taarifa ya kitaalamu juu ya ujenzi wa jengo la wizara tatu Pacha za SMZ, huko Gombani Chake Chake ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe:Dk Khalid Salum Mohamed, akizungumzia mipango ya Wizara yake kwa mwaka 2018, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi la Wizara tatu pacha za SMZ, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chake Chake mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi jengo la Wizara tatu pacha, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mpainduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.