Habari za Punde

Waziri Aboud afungua barabara ya Madenjani Mzambarauni yenye urefu wa KM 5

 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed akikata utembe kuashiria kuifungua rasmi barabara ya Madenjani Mzambarauni yenye urefu wa KM 5 mbayo imegharimu jumla ya Bilioni 1.96, ufunguzi huu ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, Mohamed Aboud Mohammed, akizungumza jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji, Mustafa Aboud Jumbe, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed, akitembea kwa miguu kwa ajili ya kukagua uzima wa barabara ya Madenjani-mzambarauni, mara baada ya kuizindua rasmi ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman, akizungumza katika hafla ya ufunguzi na uzinduzi wa barabara ya Madenjani-Mzambaraun, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafiri Zanzibar, Mhe:Balozi Ali Karume akizungumzia mikakati ya Wizara yake katika mwaka 2018, baada ya kuizindua rasmi barabara ya Madenjani- Mzambarauni ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na wananchi wa madenjani na mzambarauni, mara baada ya kuifungua rasmi barabara ya Madenjani-Mzambarauni yenye urefu wa KM 5 iliyigharimu Bilioni 1.96, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed wakiomba dua baada ya kumaliza kuizindua barabara ya Madenjani-Mzambarauni, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.