Habari za Punde

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi aweka jiwe la msingi hanga la KM KM, Kojani Pemba katika shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar

 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe:Hamad Rashid Muhammed, akisalimiana na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Shamata Shaame Khamis, mara baada ya kuwasili likoni Kojani kwa ajili ya kuweka jiwe la msingi hanga la KM KM ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe:Hamad Rashid Muhammed, akisalimiana na baadhi ya askari wa kikosi cha KM KM, mara baada ya kuwasili likoni Kojani kwa lengo la kuweka jiwe la msingi hanga la KM KM, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe:Hamad Rashid Muhammed, katikati akiwa amefuatana na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Shamata Shaame Khamis, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othama wakimsindikiza Waziri kwenda kuweka jiwe la msingi, hanga la KM KM ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, 
 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe:Hamad Rashid Muhammed, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi hanga la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe:Hamad Rashid Muhammed akipata maelezo ya hanga la KM KM kojani kutoka kwa Mkuu wa Mjenzi Kamanda wa KM KM Zanzibar Hamad Massoud, wakati alipotembelea hanga hilo ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakisikiliza taarifa ya kitaalamu ya ujenzi wa Hanga la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini hutuba ya uwekaji wa jiwe la msingi  hang a la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 AFISA Mdhamini Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Juma Nyasa Juma akisoma taarifa ya kitaalamu ya ujenzi wa hanga la KM KM Likoni Kojani, kwa niaba ya katibu mkuu wa wizara hiyo ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 BAADHI ya Askari wa kikosi cha kuzuwia magendo Zanzibar KM KM, wakifuatilia kwa makini hutaba ya uwekaji wa jiwe la msingi hanga la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 BAADHI ya Askari wa kikosi cha kuzuwia magendo Zanzibar KM KM, wakifuatilia kwa makini hutaba ya uwekaji wa jiwe la msingi hanga la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 MKUU WA Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othman, akitoa salamu za wananchi wa Mkao wa Kaskazini Pemba, wakati wa sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi hanga la KM KM likoni Kochaji, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 NAIBU waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ, Shamata Shaame Khamis akizizungumza na askari wa KM KM mara baada ya kuwekwa jiwe la msingi kwa hanga la Km km likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 VIJANA wa CCM wakiwa na wanafunzi wa skuli mbali mbali wakifuatilia hutuba ya uwekaji wa jiwe la msingi hanga la KM KM likoni Kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe:Hamad Rashid Muhammed akizungumza na wananchi wa likono Kojani, baada ya kuweka jiwe la msingi hanga la KM KM likoni kojani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
HANGA la kikosi cha KM KM likoni Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, lililowekewa jiwe la msingi ikiwa ni ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.