Mabaki ya ndege ndogo aina ya Cherokee 140 iliyoanguka katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume leo jioni ilipokuwa ikijiandaa na safari yake ya Dar. na kuanguka na kuwaka moto. Rubani wa ndege pamoja na fundi aliekuwa katika ndege hii wamefariki dunia.
BARRICK YAWEZESHA NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI WA
VYUO VIKUU ZANZIBAR
-
Mkurugenzi wa Vijana,Wizara ya Habari,Vijana na Michezo Zanzibar,Shaibu
Ibrahim Muhamed ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea na Wanafunzi na wageni
waalikw...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment