Mabaki ya ndege ndogo aina ya Cherokee 140 iliyoanguka katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume leo jioni ilipokuwa ikijiandaa na safari yake ya Dar. na kuanguka na kuwaka moto. Rubani wa ndege pamoja na fundi aliekuwa katika ndege hii wamefariki dunia.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment