Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi wa Mwaka 2018-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjhini Zanzibar
Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed alipokuwa akisoma muhtasari wa Ripoti ya Utekelezaji kwa Mwaka 2017-2018 wakati wa Kikao cha Uongozi wa Wizara hiyo cha Mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar (kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe.Harusi Saidi Suleiman
Wakurugenzi wa Idara mbali mbali katika Wizara Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika Kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Maafisa wa Idara mbali mbali katika Wizara Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika Kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika Kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar(wa pili kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee
Wakurugenzi wa Idara mbali mbali katika Wizara Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika Kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar, [Picha na Ikulu.] 25/06/2018.
No comments:
Post a Comment