Naibu Waziri wa Maliasilia na Utalii Japhet Hasunga kushoto
akimkabidhi Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama kombe la
mshindi wa kwanza wa taasisi za serikali zilizoshiriki maonyesho ya
biashara ya kimataifa yaliyokuwa yakifanyika Jijini Tanga na
kumalizika hivi karibuni
Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama akiwa na kombe la
mshindi wa kwanza wa taasisi za serikali zilizoshiriki maonyesho ya
biashara ya kimataifa yaliyokuwa yakifanyika Jijini Tanga akiwa na
watumishi wa Bandari hiyo
No comments:
Post a Comment