Habari za Punde

Mradi Mkubwa wa Ujenzi wa Mitaro ya Kupitishia Maji ya Mvua Katika Maeneo ya Jangombe, Mpendae na Magomeni Zanzibar Ukiendelea na Ujenzi Huo Unaofanywa na Kampuni Kutoka China.

Kijiko cha Kampuni ya Kichina inayojenga Mtaro Mkubwa wa kupitishia Maji ya Mvua katika maeneo ya Mpendae kwa Bint Hamrani Jangombe na Magomeni Unguja ukiendelea na ujenzi huo kwa kasi na kuunganisha mitaro hiyo ya magomeni na kwa Bint Hamrani, kama inavyoonekana picha Kijiko cha kampuni hiyo kikiwa katika uchimbaji katika eneo la Mpendae kikiendelea na kazi hiyo kuunganisha mtaro unaotokea magomeni.
Mafundi wa Kampuni ya Kichina inayojenga mtaro huo wakisuka vuma kwa ajili ya kuweka zege.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.