KIONGOZI wa mbio wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka
2018 Charles Frances Kabeho, akizindua kisanduku cha Rushwa katika jengo la
ZSTC Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
KATIBU Tawala Wilaya ya Chake Chake Abdalla Rashid
Ali, akisoma risala ya wananchi wa Chake Chake Pemba, katika maadhimisho ya
Mbio za Mwenge wa Uhuru katika mkutano wa hadhara, mbele ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, wakati wa mkesha wa mwenge huko skuli ya Shamiani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla,
akipokea mwenge wa uhuru wakati wa usomaji wa taarifa ya Wilaya ya Chake Chake,
katika mkesha wa mwenge huko katika viwanja vya skuli ya Shamiani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Issa Juma Ali, akipokea
mwenge wa uhuru kutoka kwa mmoja wa wakimbizaji wa mwenge Kitaifa, wakati wa
Usomaji wa Taarifa ya Wilaya ya Chake Chake huko katika Viwanja vya skuli ya
Shamiani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA mdhamini Wizara ya Vijana Sanaa Utamaduni na
Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akipokea mwenge wa uhuru kutoka kwa mmoja wa
wakimbizaji wa mwenge Kitaifa, wakati wa mkesha wa mwenge huko katika skuli ya
Shamiani Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Rashid Hadid Rashid,
akimkabidhi kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Charles Frances Kabeho
Risala ya wananchi wa Chake Chake, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
wakati wa Mkesha wa Mwenge.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Charles Frances
Kabeho, akiwa na mkuu wa Wilaya ya Chake
Chake Rashid Hadid Rashid, wakipitia kwa makini ratiba ya Mkesha wa Mwenge wa
Uhuru katika viwanja vya skuli ya Shamiani.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakiwa ongozana na kiongozi wa
Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Charles Frances Kabeho, wakiimba wimbo maalumu
wa heshima, wakati wa mkesha wa mwenge katika uwanja wa Skuli ya Shamiani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WANAFUNZI wa Skuli ya Madungu, Shamiani na
Michakaeni, wakisikiliza taarifa ya Wilaya ya Chake Chake katika mkesha wa
mwenge wa uhuru huko katika vianja vya skuli ya Shamiani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment