Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Kijiji cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wakisherehekea Sikukuu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Kimila Mwaka Kogwa wakikizunguka kibanda huku wakiimba baada ya kuchomwa moto kuashiria kuadhimisha mila na utamaduni wao. Utamaduni wa Mwaka Kogwa umeaza tangu mwaka 875 Karne ya 8.Wakiwa katika uwanja maalum kwa ajili ya sherehe hizo.
HANDENI MJI YAFANYA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA
KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
HANDENI TC
Halmashauri ya Mji wa Handeni imefanya bonanza kubwa la michezo lililolenga
kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchag...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment