Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Kijiji cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wakisherehekea Sikukuu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Kimila Mwaka Kogwa wakikizunguka kibanda huku wakiimba baada ya kuchomwa moto kuashiria kuadhimisha mila na utamaduni wao. Utamaduni wa Mwaka Kogwa umeaza tangu mwaka 875 Karne ya 8.Wakiwa katika uwanja maalum kwa ajili ya sherehe hizo.
MEYA ARUSHA ATOA TATHMINI YA ZIARA YA WAZIRI WA TAMISEMI KUKAGUA MIRADI YA
MAENDELEO
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Mheshimiwa Maximilian Matle Iranghe, ametoa
tathmini ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEM...
11 minutes ago
0 Comments