Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Kijiji cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wakisherehekea Sikukuu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Kimila Mwaka Kogwa wakikizunguka kibanda huku wakiimba baada ya kuchomwa moto kuashiria kuadhimisha mila na utamaduni wao. Utamaduni wa Mwaka Kogwa umeaza tangu mwaka 875 Karne ya 8.Wakiwa katika uwanja maalum kwa ajili ya sherehe hizo.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment