NAIBU Waziri Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar
Mhe. Shadya Mohammed akiwa na Mtoto Anisa Abdallah anayelelewa katika Nyumba ya
Watoto Mazizini Zanzibar akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Fatma Gharib
Bilal.
Mlezi Mkuu wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar Bi. Saida Ali Mohammed
akitowa maelezo ya Watoto wanaoishi katika nyumba hiyo wakati wa hafla ya mkono
wa Eid Al Hajj.
WATOTO wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar wakimsikiliza Waziri
wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Shadya Mohammed,
akitowa salamo za Mkono wa Eid Al Hajj za Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika makaazi yao mazizini
NAIBU Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe.
Shadya Mohammed akitowa Mkono wa Eid Al Hajj kwa Watoto wa Nyumba ya Watoto
Yatima Mazizini Zanzibar,akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema
Shein.
NAIBU Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe.
Shadya Mohammed akitowa Mkono wa Eid Al Hajj kwa Watoto wa Kijiji cha SOS
Mombasa Zanzibar akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein
NAIBU Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Shadya
Mohammed akimsalimia Mtoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar Zahir Abdllah
wakati wa hafla ya kutowa mkono wa Eid Al Hajj kwa Watoto hao katika makaazi
yao mombasa Zanzibar .
No comments:
Post a Comment