Habari za Punde

Wajasiriamali wanawake Kisiwani Pemba wapatiwa mafunzo

 WAJASIRIAMALI wanawake Kisiwani Pemba wakiwa katika kazi za vitendo za ufumaji wa mazulia, baada ya kupatiwa mafunzo na shirikal la SOS Pemba, katika utekelezaji wa maradi wa kuimarisha familia, ili ziondokane na umasikini na kuweza kujitegemea wenyewe kipato.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WAJASIRIAMALI wanawake Kisiwani Pemba wakiwa katika kazi za vitendo za utengenezaji wa Mikoba ya kisasa, baada ya kupatiwa mafunzo na shirikal la SOS Pemba, katika utekelezaji wa maradi wa kuimarisha familia, ili ziondokane na umasikini na kuweza kujitegemea wenyewe kipato.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya Mikoba iliyotengenezwa na wasajiriamili wanawake, waliopatiwa mafunzo ya utenganezaji wa mikoba hiyo kutoka kwa shirika la SOS Pemba, katika utekelezaji wa mradi wa kuimarisha famialia, ili ziondokane na umaskini na kuweza kujitegemea wenyewe kipato.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 BAADHI ya wajasiriamali wanawake Kisiwani Pemba, wakiwa katika kazi za vitendo wakikoroga sabuni ya maji, baada ya kupatiwa mafunzo na shirikal la SOS Pemba, katika utekelezaji wa maradi wa kuimarisha familia, ili ziondokane na umasikini na kuweza kujitegemea wenyewe kipato.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.