Habari za Punde

Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.

Robo fainali Kombe la FA Zanzibar imetoka baada ya vilabu nane vilivyotinga hatua hiyo kukutana na kamati teule ya ZFA.
Ratiba ya Micuano ya FA Zanzibar inasomeka :-
Jumatano 26/09/2018 Black Sailors vs Malindi.
Alhamis 27/09/2018 KVZ vs Polisi
Ijumaa 28/09/2018 Mpapa vs Raska zone
Jumamosi 29/09/2018 KMKM vs Mlandege

Michezo yote hiyo itachezwa saa 10:00 za jioni katika Uwanja wa Amaan.
Tumezungumza na Abubakar Khatib Kisandu Msemaji wa kamati teule ya ZFA akitupa maandalzi kuelekea michezo hiyo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.