Ukarabati mkuu wa majengo iliokuwa marikiti Kuu wa mbogamboga darajari ukiaza ujenzi huo mkubwa wa ukarabati na ujenzi wa vibararaza vipya baada vya zamani kuchakaa na kubomoka likiwemo paa lake. Ujenzi huo unafanya na Manispa ya Zanzibar ili kuliweka soko hilo katika muonekana wa kisasa na kuweza kutowa huduma bora zaidi kwa wafanyabiashara wa eneo hilo wanaojishughulisha na biashara ya mbogambago na uchinjaji wa kuku. eneo hilo likiwa limezingira mabati ili kuendeleza ujenzi huo.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment