Ukarabati mkuu wa majengo iliokuwa marikiti Kuu wa mbogamboga darajari ukiaza ujenzi huo mkubwa wa ukarabati na ujenzi wa vibararaza vipya baada vya zamani kuchakaa na kubomoka likiwemo paa lake. Ujenzi huo unafanya na Manispa ya Zanzibar ili kuliweka soko hilo katika muonekana wa kisasa na kuweza kutowa huduma bora zaidi kwa wafanyabiashara wa eneo hilo wanaojishughulisha na biashara ya mbogambago na uchinjaji wa kuku. eneo hilo likiwa limezingira mabati ili kuendeleza ujenzi huo.
VIJIJI 11 TARIME KUANZA KUPATA MAJI SAFI YA MRADI WA UPANUZI NYANGOTO
UNAOTEKELEZWA KWA FEDHA ZA BARRICK NORTH MARA
-
Matenki ya maji ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa upanuzi wa chanzo cha
mradi utakuwa ukitoa huduma ya kwa vijiji vyote 11 vilivyo ndani ya mgodi
wa Nort...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment