Ukarabati mkuu wa majengo iliokuwa marikiti Kuu wa mbogamboga darajari ukiaza ujenzi huo mkubwa wa ukarabati na ujenzi wa vibararaza vipya baada vya zamani kuchakaa na kubomoka likiwemo paa lake. Ujenzi huo unafanya na Manispa ya Zanzibar ili kuliweka soko hilo katika muonekana wa kisasa na kuweza kutowa huduma bora zaidi kwa wafanyabiashara wa eneo hilo wanaojishughulisha na biashara ya mbogambago na uchinjaji wa kuku. eneo hilo likiwa limezingira mabati ili kuendeleza ujenzi huo.
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment