Ukarabati mkuu wa majengo iliokuwa marikiti Kuu wa mbogamboga darajari ukiaza ujenzi huo mkubwa wa ukarabati na ujenzi wa vibararaza vipya baada vya zamani kuchakaa na kubomoka likiwemo paa lake. Ujenzi huo unafanya na Manispa ya Zanzibar ili kuliweka soko hilo katika muonekana wa kisasa na kuweza kutowa huduma bora zaidi kwa wafanyabiashara wa eneo hilo wanaojishughulisha na biashara ya mbogambago na uchinjaji wa kuku. eneo hilo likiwa limezingira mabati ili kuendeleza ujenzi huo.
MULIKA TANZANIA YAZIDI KUWAFIKA MACHINGA NA KUWAJENGEA UWEZO
-
Taasisi ya Mulika Tanzania imewajengea uwezo kwa kundi maalumu la
Wamachinga 15 kwa ajili ya uainishaji wa vituo vya Afya vinavyotoa huduma
ya Afya ya ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment