Naibu Waziri wa
Kilimo,Mifugo Maliasili na Uvuvi Mhe. Dkt.Makame Ali Ussi akipata maelezo kwa Katibu wa
kikundi cha Mapambazuko kinachojishughulisha na Kilimo pamoja mifugo huko
Kisiwani Mianzini Wilaya ya Micheweni Pemba.
Mwakilishi wa jimbo
la Mgogoni Hamad Shehe Matar akitoa maelezo mbele ya Waziri wa
Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi Mhe.Makame Ali Ussi wakati alipofanya ziara ya
kutembelea jimbo hilo.
Naibu Waziri wa
Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi Mhe.Makame Ali Ussi akipata maelezo kutoka kwa
Katibu wa kikundi cha uzalishaji chunvi na ufugaji wa samaki Rashi Ali huko
Kiungoni Wilaya ya Micheweni ambapoNaibu huyo alifanya ziara katika jimbo la
Mgogoni.
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi Zanzibar Mhe.Makame
Ali Ussi akizungumza na wanaushirika wa ufugaji nyuki katika bonde la Tovuni
Wilaya ya Micheweni Pemba. (Picha na Said Abdulrahaman - Pemba.)
No comments:
Post a Comment