Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohamed Said (kushoto) akimskiliza Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya 'The Eleanor Foundation' Bwana Ray Naluyaga ofisini kwake Mazizini alipofika kumtambulisha Mradi wa Ujenzi wa vyoo kwa Skuli mbali mbali zenye upungufu wa huduma hiyo, ambapo amesema mradi huo umeshaanza katika maeneo ya Chato na Biaramuro kwa Tanzania Bara na utaendelea Zanzibar kwa kuanza na Skuli tano kwa vyoo 20 kwa kila Skuli ambavyo vitakua na huduma kamili.
Waziri Kikwete aipa tano Ofisi ya Msajili wa Hazina
-
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na
Watu wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Ofisi ya Msajili
wa Haz...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment