Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohamed Said (kushoto) akimskiliza Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya 'The Eleanor Foundation' Bwana Ray Naluyaga ofisini kwake Mazizini alipofika kumtambulisha Mradi wa Ujenzi wa vyoo kwa Skuli mbali mbali zenye upungufu wa huduma hiyo, ambapo amesema mradi huo umeshaanza katika maeneo ya Chato na Biaramuro kwa Tanzania Bara na utaendelea Zanzibar kwa kuanza na Skuli tano kwa vyoo 20 kwa kila Skuli ambavyo vitakua na huduma kamili.
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment