MKUU wa Wilaya ya
Chake Chake Rashid Hadid Rashid (kushoto), akisalimiana na mwenyekiti wa klabu
ya wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba, Abdalla Ali Said (Ngonda) baada ya
kuchaguliwa kwake na wafanyabiashara wakati wa uzinduzi wa klabu ya
wafanyabiashara Pemba
MKUU wa Wilaya ya
Chake Chake Rashid Hadid Rashid, akizungumza na wafanyabiashara wa Pemba,
wakati wa uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB Pemba, uzinduzi huo
uliofanyika mjini chake chake
MWENYEKITI Mteuliwa
wa klabu ya wafanyabiashara ya NMB Kisiwani Pemba Abdalla Ali Said (Ngonda),
akizungumza na wafanyabiashara katika mkutano wa uzinduzi wa klabu hiyo, mkutano
uliofanyika mjini Chake Chake.
MENEJA wa NMB kanda
ya Dar es Salam na Zanzibar, Badru Iddi akizungumzia malengo ya Benk ya NMB
kanda yake kwa mwaka 2019, wakati wa uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara wa
NMB Pemba, hafla ya uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake
MWAKILISHI kutoka NMB Loelia Kibasa, akiwasilisha mada kuhusu NMB na Idara ya biashara, wakati wa ufunguzi wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB kisiwani Pemba, halfa iliyofanyika mjini Chake Chake.
MTAALAMU wa Mfunzo ya Biashara kutoka EIB Erick Chrispin akiwasilisha mada ya mafunzo ya Biashara, wakati wa uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba, uzinduzi huo uliofanyika mjini chake chake
MWENYEKITI wa klabu ya Wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba Abdalla Ali Said, akimkabidhi cheti cha shukurani mmoja wa wafanyabiashara na mteja wa benk ya NMB Pemba, Mwanakhamis Khamis, wakati wa hafla ya uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.
MWAKILISHI kutoka NMB Loelia Kibasa, akiwasilisha mada kuhusu NMB na Idara ya biashara, wakati wa ufunguzi wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB kisiwani Pemba, halfa iliyofanyika mjini Chake Chake.
MTAALAMU wa Mfunzo ya Biashara kutoka EIB Erick Chrispin akiwasilisha mada ya mafunzo ya Biashara, wakati wa uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba, uzinduzi huo uliofanyika mjini chake chake
MWENYEKITI wa klabu ya Wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba Abdalla Ali Said, akimkabidhi cheti cha shukurani mmoja wa wafanyabiashara na mteja wa benk ya NMB Pemba, Mwanakhamis Khamis, wakati wa hafla ya uzinduzi wa klabu ya wafanyabiashara hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.
MWENYEKITI wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB Kisiwani Pemba
Abdalla Ali Said, akimkabidhi cheti meneja wa NMB Tawi la Pemba Ahmed Nassor,
kwa niaba ya mfanyabiashara Abdalla Nassor Abdalla, wakati wa hafla ya uzinduzi
wa klabu ya wafanyabiashara hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment