Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akizungumza wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.
Dkt Jakaya Kikwete Apongeza Kasi ya Ukuaji Taasisi za Fedha, Aipongeza NBC
Ushirikiano na Wateja.
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ameelezea kuridhishwa
kwake na kasi ya ukuaji pamoja na uimara wa taasisi za fedha hapa nchini
huku akizis...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment