Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akishuka kwenye ndege ya Shirika la Ndege
la Tanzania Air Tanzania mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akishuka kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akisalimiana na wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini TAA
mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Njia Panda
Wilayani Chato mara baada ya kuwasili akitokea jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akiwasalimia Wafanyakazi wanaofanya kazi za ujenzi katika Kiwanja cha
ndege cha Chato (hawaonekani pichani) wakati akiondoka eneo hilo mara baada ya kuwasili akitokea jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Njia Panda
Wilayani Chato mara baada ya kuwasili akitokea jijini Dar es Salaam.
Ndege ya Shirika la Ndege la
Tanzania Air Tanzania ikiwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoa Geita.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment