Habari za Punde

Msemekaji Mkuu wa Serikali Dkt. Abass Atembelea Kituo Cha Radio City FM Jijini Dar es Salaam.

Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo katika ziara yake ya kutembelea kituo cha Radio City Fm, kinachomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Itifaki,Uhusiano na Umma, Ndg.Gaston Makwembe akifafanua jambo katika ziara iliyofanywa na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas yakutembelea kituo cha Radio City Fm,kinachomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo katika kitengo cha utalii cha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akiwafafanulia jambo wakati akizungumza na Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es salaam.akiwa katika ziara yake ya kikazi. 
Dkt.Hedwiga Swai akielezea mfumo wa matumizi ya mashine ya Imaging Resonance Magnetic (IMR) katika chumba maalum cha uchunguzi wa magonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Patrick akioneshamfumounaotumikakatikaHospitaliya Taifa yaMuhimbiliwakuingizamajinanamaelezoyawagonjwanampangowakuwahudumiakupitiakompyuta.

Mtaalam wa kutumia CT scan mashine akielezea jinsi mashine hiyo inavyofanya kazi na idadi ya watu inayohudumia kwa siku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.