Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wapiga kura wake wakati aliposhiriki katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kwenye kijiji alichozaliwa cha Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 9, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimnyanyua mtoto Safina Selemani (3) wakati aliposhiriki katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kwenye kijiji alichozaliwa cha Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment