Habari za Punde

Uzinduzi wa mto wa asili Vitongoji Pemba

 Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya kale Khatibu Juma Mjaja akiwa na Viongozi wenzake wakisubiri usafiri kwa ajili ya kwenda kuzindua Mto wa asili  uliyoanzia Kijiji cha  Furaha hadi Vitongoji Kisiwani Pemba.
 Viongozi na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya kale  wakiwa ndani ya Fiber kwa ajili ya Uzinduzi wa Mto wa Asili ulioanzia Kijiji cha Furaha hadi Vitongiji Kisiwani Pemba.
  Wafanyakazi wa Wuzara ya Habari, Utalii na Mambo ya kale Pemba wakimsilikiza Mkuuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemmed Suleiman wakati akizindua Mto wa Asili ulioanzia Kijiji cha Furaha hadi Vitongoji  Kisiwani Pemba.

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemmed Suleiman  akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya kale mara baada ya kuzinduwa Mto wa asili  ulioazia Kijiji cha Furaha hadi Vitongoji  Kisiwani Pemba

Picha na Miza Othman -Maelezo Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.