Habari za Punde

Mwakilishi wa Jimbo la Makunduzi Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleima Akabidhi Fedha Kwa Vikundi Vya Wajasiriamali Wilaya ya Kusini Unguja.

Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Haroun Ali Suleiman akitoa ufafanuzi kwa Vikundi vya Ujasiriamali vya kuweka na kukopa vya shehia ya Ng'anani na Kajegwa Makunduchi kuhusu kuvisaidia zaidi Vikundi hivyo. 
Baadhi ya  Wanavikundi  vya Ujasiriamali vya kuweka na kukopa vya shehia ya Ng'anani na Kajegwa Makunduchi Wakimsikiliza  Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Haroun Ali Suleiman huko Skuli ya Msingi Kajegwa Makunduchi.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akiwakabidhi pesa Baadhi ya Wanavikundi  vya Ujasiriamali vya kuweka na kukopa kutoka  shehia ya Ng'anani na Kajegwa Makunduchi katika hafla  iliyofanyika Skuli ya Msingi Kajegwa Makunduchi.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akiwakabidhi pesa Baadhi ya Wanavikundi  vya Ujasiriamali vya kuweka na kukopa kutoka  shehia ya Ng'anani na Kajegwa Makunduchi katika hafla  iliyofanyika Skuli ya Msingi Kajegwa Makunduchi.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akiwakabidhi pesa Baadhi ya Wanavikundi  vya Ujasiriamali vya kuweka na kukopa kutoka  shehia ya Ng'anani na Kajegwa Makunduchi katika hafla  iliyofanyika Skuli ya Msingi Kajegwa Makunduchi. 
Picha na Maryam Kidiko - Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.