Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitiu wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Ajumuika na Vijana wa Halaiki Walioshiri Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Katika Uwanja wa Amaan 12,January 2020.

Vijana wa Halaiki walioshiriki katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika Uwanja wa Amaan 12,January 2020, wakiwa katiuka viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar wakihudhuria hafla ya Chakula Maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu wa Kamati ya Uhamasishaji na Halaiki Zanzibar. Ndg. Ali Mohammed Bakari(Shasha) alipowasili katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar kuhudhuria hafla ya Chakula Maalum alichowaandalia Vijana wa Halaiki katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan 12,January 2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa amesimama na Viongozi wa meza kuu wakati ukipigwa wimbo wa Taifa, (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Katika Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma.Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Polisi ziwani Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Veteran wa Young Pioneer walioshiriki katika Gwaride la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa, kabla ya kuaza kwa hafla ya Chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kwa Vijana wa Halaiki  walioshiriki sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika  Uwanja wa Amaan 12,January 2020, hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
BAADHI ya  Vijana walioshiki  katika Halaiki ya Madhimisha ya  Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar,12,January2020 , wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa baada ya kuwasili Mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika hafla ya Chakula Maalum alichowaandalia Vijana hao katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
KATIBU wa Kamati ya Uhamasishaji na Halaiki Zanzibar .Ndg. Ali Mohammed Bakari (Shasha) akizungumza na kutowa shukrani kwa niaba ya Washiriki wa Halaiki ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar 12,January.2020, wakati wa hafla ya Chakula Maalum kilichoandaliwa kwa ajili ya Vijana hao katika  viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar
BAADHI ya Viongozi  na Washauri wa Rais wakiwa katika viwanja vya Polisi Ziwani  wakijumuika na Vijana wa Halaiki katika hafla ya Chakula Maalum kilichoandaliwa kwa Vijana hao walioshiriki Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
VIJANA walioshiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar,12.January.2020, wakipata chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
VIJANA walioshiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar,12.January.2020, wakipata chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
VIJANA walioshiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar,12.January.2020, wakipata chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
VIJANA walioshiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar,12.January.2020, wakipata chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula Maalum kilichoandaliwa kwa Vijana walioshiriki Maashimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar , iliofanyika katika Viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na baadhi ya Vijana walioshiri  Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar , zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan 12,January.2020(waliosimama nyuma), baada ya kumalizika hafla ya chakula Maalum alichowaandalia katika viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar, waliokaa (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, Jaji Mkuu wa Zanzibar.Mhe. Omar Othman Makungu, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe Mgeni Hassan Juma na Katimu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi.Dkt. Abdulhamid  Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Kamati ya Uhamasishaji na Halaiki Ndg. Ali Mohammed Bakar, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe. Riziki Pembe Juma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe. Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.Mhe. Hassan Khatib Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya Vijana wenye mahitaji maalum  walioshiri katika  Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar , zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan 12,January.2020 (waliuosimama nyuma), baada ya kumalizika  kwa hafla ya chakula Maalum alichowaandalia katika viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar, waliokaa (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, Jaji Mkuu wa Zanzibar.Mhe. Omar Othman Makungu, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe Mgeni Hassan Juma na Katimu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi.Dkt. Abdulhamid  Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Kamati ya Uhamasishaji na Halaiki Ndg. Ali Mohammed Bakar, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe. Riziki Pembe Juma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe. Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.Mhe. Hassan Khatib Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula maalum kilichoandaliwa kwa ajili ya Vijana walioshiriki sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Polisi Ziwani Jijini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.