Kaimu Katibu Mkuu
Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na MIchezo Dkt.Ally Possi (alievaa kofia) leo akikagua eneo la Kiwanja ambapo kutajengwa Kituo cha Kikuu cha Kimataifa cha Programu ya Urithi wa
Ukombozi wa Bara la Afrika lenye ukubwa wa
ekari 65 lililopo katika Mtaa wa Mji Mpyaa Mwabwepande jijini Dar es
Salaam,watatu kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika
Wizara ya Habari, Utamaduni ,Sanaa na Michezo Bibi.Joyce Fisoo na wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi
Msaidizi Sehemu ya Urithi na Maadili ya Taifa kutoka Wizara ya Habari,
Utamaduni ,Sanaa na Michezo Bw.Boniface Kadili.
Kaimu Katibu Mkuu
Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Ally Possi (wa pili kulia)
akimsikiliza Afisa Mtendaji Mtaa wa Mji Mpya Mabwepande (wakwanza
kulia)alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu wavamizi wa eneo la Kiwanja cha
kujengwa Kituo Kikuu cha Programu ya
Urithi wa Ukombozi wa Bara la
Afrika alipofanya ziara kukagua kiwanja
hicho leo Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Katibu Mkuu
Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na MIchezo Dkt.Ally Possi (aliyevaa kofia)wa
akikikagua baadhi ya barua za mmoja
wa watu wanapoishi alizoziandika Wilaya
ya Kinondoni akidai eneo hilo kuwa ni la
wazazi wake, alipofanya ziara ya kukagua kiwanja hicho leo jijini Dar es
Salaam, Kiwanja hicho kitakacho jengwa,
Kituo Kikuu cha Programu ya Urithi wa
Ukombozi wa Bara la Afrika ambapo alikuta kuna wananchi wamevamia wanaishi
katika eneo hilo mbali na kuwa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo kuwa
wameshapewa hati yakiwanja hicho.
No comments:
Post a Comment