Habari za Punde

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Maafa Kijiji cha Tumbe na Chuo Cha Amali Daya ya Mtambwe Pemba Ukiendelea na Ujenzi huo

Mradi wa Ujenzi wa majengo ya Chuo cha Amali Daya ya Mtambwe ukiendelea na ujenzi huo kwa kasi kama inavyoonekana pichani mafundi wakiendelea na ujenzi huo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu  wakiwa kazini katika ujenzi huo. 
BAADHI ya nyumba za Maafa Tumbe zikiwa katika hali nzuri kwa sasa, zikisubiri kuezekwa na kufanyiwa matengenezo ya mwisho, kama zinavyoenekana katika picha
 (Picha na Abdi Suleiman )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.