Kada wa CCM Mgombea Urais wa Zanzibar kutoka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Rashid Pandu akikabidhi fedha kwa ajili ya uchuaji wa Fomu ya Urais akimkabidhi Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo, alipofika leo Afisi ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. akitokea Kijiji cha Bambi ni Mkulima.
RAIS SAMIA AELEZEA MPANGO UJENZI WA BARABARA, SERIKALI KUIBORESHA DAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu
Hassanakiwahutubia Wabunge pamoja na viongozi mbalimbali kabla ya kufungua
rasmi Bunge la ...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment