Kada wa CCM Mgombea Urais wa Zanzibar kutoka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Haji Rashid Pandu akikabidhi fedha kwa ajili ya uchuaji wa Fomu ya Urais akimkabidhi Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo, alipofika leo Afisi ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. akitokea Kijiji cha Bambi ni Mkulima.
Kimataifa : Makamu wa Rais Dkt. Mpango Ahutubia Mkutano wa Kimataifa wa
ufadhili wa maendeleo Hispania
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4)
una...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment