Habari za Punde

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI MHE. KANYASU ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu leo  amechukua fomu ya kuomba ridhaa tena ya  nafasi ya  Ubunge wa  jimbo la  Geita Mjini,   Naibu Waziri Kanyasu amekabidhiwa  fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Geita, Mwinyikheri Baraza  katika ofisi za CCM wilaya ya Geita  katika mkoa wa Geita
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akiwa ameshika fomu  ya kuomba ridhaa tena nafasi ya  Ubunge wa  jimbo la  Geita Mjini,    mara baada ya kukabidhiwa   fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Geita, Mwinyikheri Baraza  katika ofisi za CCM wilaya ya Geita  katika mkoa wa Geita
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu  akiandika  taarifa zake katika kitabu  mara baada ya kuwasili katika  ofisi za CCM wilaya ya Geita  kwa ajili ya kuchukua  fomu  ya kuomba ridhaa tena nafasi ya  Ubunge wa  jimbo la  Geita Mjini,  Kulia ni  Peter Makeleja aliyeongozana na Naibu waziri huyo katika ofisi hizo kwa ajili ya kuchukua fomu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.