Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita
na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati
akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha
Pwani na Mikoa ya Lindi na Mtwara lilijengwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini
ya Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa.
KOKA KULETA MAGEUZI MAKUBWA YA ELIMU NA AFYA KWA WANACHI KATA YA KIBAHA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge mteule wa Jimbo la Kibaha mjini kupitia tiketi ya Chama cha
mapinduzi (CCM) Silvestry Koka ameahidi kuboresha sekta ya a...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment