RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na
(kushoto kwa Rais) Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Kassima Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi
Seif Ali Iddi, wakijumuika katika hafla ya maziko ya Rais Mstaaf wa Tanzania
Hayati Benjamin Willian Mkapa, yaliofanyika Kijiji kwao Lupaso Mkoani Mtwara
29-7-2020
VIONGOZI
Wakuu wa Kitaifa wakiwa katika jukwaa maalum wakati wa hafla ya maziko ya Rais
wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin William
Mkapa yaliofanyika 29/7/2020, kijiji kwao Lupaso Mkoani Mtwara.
VIONGOZI
wa Jukwaa kuu la Viongozi wakiwa katika ibada ya kumuombea Rais Mstaaf wa Awamu
ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa
yaliofanyika Kijijin kwao Lupaso Mkoani Mtwara 29/7/2020,
ASKOFU
Mkuu wa TUNDURU –Masasi Askofu Filbert Mhasi akiongoza Ibada ya maziko ya Rais
Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William
Mkapa yaliofanyika Kijijini Kwao Lupaso Mkoani Mtwara,
No comments:
Post a Comment