Habari za Punde

Star Nursery School ikichukua tahadhari, ugonjwa wa Corona

LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery  school iliyopo Kichungwani  wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.