LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery school iliyopo Kichungwani wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
RC MBONI: SHINYANGA TUPO TAYARI KUFANIKISHA UWEKEZAJI
-
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, amepongeza juhudi za Mamlaka
ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) katika
utekelezaji ...
13 minutes ago

0 Comments