LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery school iliyopo Kichungwani wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
CHAN 2024 : Dar Kuzizima Ufunguzi wa CHAN24
-
Na Rahel Pallangyo
ARDHI ya Tanzania kwenye mji wenye pilikapilika, Dar es Salaam Agosti 2,
mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utashuhudiwa uf...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment