LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery school iliyopo Kichungwani wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAWEKEZAJI WA CHINA, UWT WAJADILI KUHUSU NISHATI SAFI
-
Na MWANDISHI WETU
WAWEKEZAJI kutoka China wamekutana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na
kujadiliana kuhusu uwekezaji hususan katika uzalishaji wa Nis...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment