Habari za Punde

Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama Cha NRA Akinadi Sera za Chama Chake Katika Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni Pemba.

MGOMBEA Urais wa Zanzibar  kwa Chama Cha NRA Mhe. Khamis Faki Mgau, akinadi Sera za Chama chake kwa Wananchi wa katika Kijiji cha Kangani Pemba wakati wa mkutano wake wa  ufunguzi wa Kampeni  ya Urais wa Zanzibar. 
BAADHI ya wagombea Ubunge na Uwakilishi  wamajimbo mbali mbali Kisiwani Pemba kutoka chama cha NRA, wakifuatilia mkutano wa kampenzi za Siasa za chama hicho, mkutano uliofanyika uwanja wa mpira Kangagani
                                                (Picha na Abdi Suleiman - PEMBA) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.