KATIBU Tawala Mkoa wa
Kusini Pemba Abdalla Rashid Ali, akizungumza na wafanyakazi wa wizara ya Habari
Utalii na Mambo ya Kale Pemba, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Hemed Suleiman
Abdalla. uliofanyika katika ukumbi wa Mambo ya Kale Chakechake Pemba.
BAADHI ya wanafanyakazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Pemba, kutoka vitengo mbali mbali vya wizara hiyo, wakifuatilia kwa utulivu hutuba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kusini Pemba, wakati alipokua akizungumza nao huko katika ukumbi wa Mambo ya Kale.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment