Habari za Punde

Kongamano la 8 la Maji Lafanyika Jijini Dodoma

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba (kushoto) akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Maji, Daudi Sangi akitoa maelezo kuhusu ufanyaji kazi wa pampu ya kusukuma maji alipotembelea mabanda ya Maonesho ya Wazabuni katika Kongamano la Maji  la 8  jiiini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba (kushoto) akisalimiana na miongoni mwa Wadau wa Maendeleo walioshiriki Kongamano la Maji la 8 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya ATAWAS, Mhandisi Geofrey Hilly akitoa taarifa ya utendaji wa taasisi hiyo katika Kongamano la Maji la 8 jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la 8 la Maji wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba (hayupo pichani) wakati akihutubia kwenye Kongamano hilo  jijini Dodoma.

 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.