Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika maandamano ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar yakiongozwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Kumi la Wawakilishi uliofanyika leo 11/11/2020.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Maryam Mwinyi wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa
baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano wa Baraza leo 11/11/2020, kwa ajili
ya kulifungua Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Maryam
Mwinyi, wakiwa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, bkabla ya kulihutubia Baraza la
Kumi na kulifungua rasmin leo 11/11/2020. Wakati Spika wa Baraza la Wawakilishi
Mhe Zuberi Ali Maulid (hayupo pichani ) akizungumza
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akilihutubia Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Baraza hilo leo katika ukumbi wa Baraza
Chukwani Jijini Zanzibar
WAJUMBE
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Baraza la
Kumi la Wawakilishi Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akilihutubia na kulifungua leo
WAJUMBE
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Baraza la
Kumi la Wawakilishi Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akilihutubia na kulifungua leo
WAJUMBE
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Baraza la
Kumi la Wawakilishi Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akilihutubia na kulifungua leo
WAJUMBE
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Baraza la
Kumi la Wawakilishi Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akilihutubia na kulifungua leo
MARAIS
Wastaaf wakifuatrilia hutuba ya ufunguzi wa Baraza la Kumi la Wawakilishi
Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akilihutubia Baraza leo wakati wa ufunguzi
huo wa kwanza Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi. Rais Mstaaf wa
Zanzibar Mhe.DSkt. Amani Karume,Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe Dk. Ali Mohammed
Shein na Makamu wa Pili wa Rais Mstaaf Mhe.Balozi Seif Ali Iddi
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, baada ya kumalizika kwa hafla ya
Ufunguzi wa Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar
No comments:
Post a Comment