Habari za Punde

Baraza la Manispaa mjini lagawa dustbins kwa Jeshi la Zimamoto

 

Katika kuendeleza kutekeleza agizo la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Baraza la Manispaa mjini limegawa madust bin kwa jeshi la Zima Moto Zanzibar (KZU)

Akikabidhi vifaa hivyo vya kuhifadhia taka kwa kamanda msaidizi wa kikosi cha zimamoto, alipokea kwa niaba ya Kamishna wa Zima Moto na Uokozi Zanzibar Ali A. Maalmusi

Afisa Uhusiano wa Baraza la Manispaa Mjini Ndg Seif Ally seif amesema Baraza la Manispaa mjini limejipanga kuhakikisha wanauweka mji wa Zanzibar safi.

Afisa huyo ameongezea kwa kusema Jeshi la Zima Moto wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri katika kutoa elimu ya usafi katika jamii inayowazunguka.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.