Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akipita mbele ya nyumba za askari polisi(zinazoonekana pichani) zilizopo eneo la Mfikiwa, Mkoa wa Kusini Pemba ambazo zilijengwa na fedha zilizotolewa na Rais Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa ni mkakati maalumu wa kutatua changamoto za makazi ya askari nchini.Kulia ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohammed Haji Hassan.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo akiteta jambo na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohammed Haji Hassan(kulia)leo wakati wa ziara ya ukaguzi wa Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Askari Polisi, zilizopo eneo la Mfikiwa, Mkoa wa Kusini Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohammed Haji Hassan (wapili kushoto),akimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo wakati wa ziara ya ukaguzi wa Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Askari Polisi,leo zilizopo eneo la Mfikiwa, Mkoa wa Kusini Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment