Habari za Punde

Makabidhiano ya Ofisi kwa Katibu Mkuu mpya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango

Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango aliemaliza muda wake Khamis Mussa Khamis akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara hio Vuga Jijini Zanzibar 26-01-2021.

Naibu Katibu Mkuu aliemaliza muda wake Khatib Mwadini Khatib kulia akimkabidhi Jalada  la kazi Naibu Katibu Mkuu Mpya Khamis Suleiman Mwadini katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara hio Vuga Jijini Zanzibar 26-01-2021.

Katibu Mkuu Wizara ya  Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango aliemaliza muda wake  Khamis Mussa Khamis kulia akitiliana saini na Katibu Mkuu Mpya Wizara hio Juma Malik Akili katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara hio Vuga Jijini Zanzibar 26-01-2021.
Katibu Mkuu Wizara ya  Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango aliemaliza muda wake  Khamis Mussa Khamis kulia akimkabidhi Jalada la Kazi  Katibu Mkuu Mpya Wizara hio Juma Malik Akili katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara hio Vuga Jijini Zanzibar 26-01-2021.

Katibu Mkuu mpya Wizara ya  Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Juma Malik Akili akitoa nasaha zake baada ya kukabidhiwa Ofisi   katika ukumbi wa Wizara hio Vuga Jijini Zanzibar 26-01-2021.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZBAR.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.