Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mh.Othman Masoud Othman akizungumza na mmoja wa wa Watendaji wa Tume ya Kitaifa ya Uratibu na udhibiti wa Dawa za kulevya Zanzibar, iliyopo Migombani Mjini Magharib Unguja wakati alipofika kwenye ofisi yao kubadilishana mawazo
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mh.Othman Masoud Othman akisaini kitabu cha wageni cha Tume ya Kitaifa ya Uratibu na udhibiti wa Dawa za kulevya Zanzibar, iliyopo Migombani Mjini Magharib Unguja wakati alipofika kwenye ofisi yao kubadilishana mawaz
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mh.Othman Masoud Othman akimsikiliza mmoja wa Watendaji wa Tume ya Kitaifa ya Uratibu na udhibiti wa Dawa za kulevya Zanzibar, iliyopo Migombani Mjini Magharib Unguja wakati alipofika kwenye ofisi yao kubadilishan mawazo
Tume hio ipo chini ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mh.Othman Masoud Othman akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Tume ya Kitaifa ya Uratibu na udhibiti wa Dawa za kulevya Zanzibar. Katika\ ziara hiyo aliambatana na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe Saada Mkuya Salum na Mkuu wa Wilaya ya Mjini
No comments:
Post a Comment