BAADHI ya mafundi wa gereji za vyombo vya maringi mawili ndani ya jimbo la Wawi, wakicheza mziki huku wakiwa na Tool box ambazo zimebeba vifaa vya Gereji, walizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Wawi Khamis Kassim Ali, tool box moja imegharimu shilingi laki 500,000/=.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment