Habari za Punde

MBUNGE wa Jimbo la Wawi akabidhi tool boxes kwa mafundi waw Gereji jimboni

MBUNGE wa Jimbo la Wawi Wilaya ya Chake Chake Khamis Kassim Ali, akimkabidhi Tool Box mmoja ya mafundi wa Gereji zilizomo ndani ya Jimbo la Wawi, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi zake kwa gereji tisa zilizomo ndani ya jimbo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, 

 BAADHI ya mafundi wa gereji za vyombo vya maringi mawili ndani ya jimbo la Wawi, wakicheza mziki huku wakiwa na Tool box ambazo zimebeba vifaa vya Gereji, walizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Wawi Khamis Kassim Ali, tool box moja imegharimu shilingi laki 500,000/=.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.