BAADHI ya mafundi wa gereji za vyombo vya maringi mawili ndani ya jimbo la Wawi, wakicheza mziki huku wakiwa na Tool box ambazo zimebeba vifaa vya Gereji, walizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Wawi Khamis Kassim Ali, tool box moja imegharimu shilingi laki 500,000/=.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
TCAA yawahimiza Wahandisi wa Mitambo ya Kuongozea Ndege kuendelea Kuendana
na Kasi ya Teknolojia
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim
Msangi, amefungua Mkutano wa 26 wa mwaka wa Chama cha Wahandisi wa Mitambo
ya Kuong...
42 minutes ago
0 Comments