BAADHI ya mafundi wa gereji za vyombo vya maringi mawili ndani ya jimbo la Wawi, wakicheza mziki huku wakiwa na Tool box ambazo zimebeba vifaa vya Gereji, walizokabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Wawi Khamis Kassim Ali, tool box moja imegharimu shilingi laki 500,000/=.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment