Habari za Punde

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi Awatembelea Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo na Kukabidhi Vyakula Kwa Ajili ya Mfungo wa Mwezi wa Mtukufu wa Ramadhani.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguja Bi. Suzan Peter Kunambi alipowasili katika makaazi ya Wazee Welezo Unguja kwa ajili ya kuwasalimia na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Tende kwa niaba ya Wazee wa Kijiji cha Welezo Bw.Jumanne Kitwana, wakati alipofika katika makaazi yao kuwasalimia na kuwakabidhi Vyakula kwa ajili ya  Mtukufu wa Ramadhani.MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Sukari Bi.Mwanamize Nyange akipokea kwa niaba ya Wazee wa Kijiji cha Welezo wakati alipofika katika makaazi yao kuwasalimia na kuwakabidhi Vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 
Mzee Jumanne Kitwana akitowa neno la shukrani kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi alipofika kuwatembelea katika makaazi yao Welezo na kuwakabidhi Vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto anayeshudhulikia (Ustawii wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto )Bi. Abeida Rashid Abdallah na (kulia kwa Mama) Mkuu wa Mkoa wa Mjiniu Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto)Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Bi.Suzan Peter Kunambi
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar, alipofika kuwasalimia na kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Futari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
WAZEE wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wazee hao alipofika kuwasalimia na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, alipofika katika makaazi yao
WAZEE wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wazee hao alipofika kuwasalimia na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, alipofika katika makaazi yao

Mzee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar Mahmoud Buyunge akishangilia wakati Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wazee hao alipofika katika makaaziu yao kwa ajili ya kuwasalimia na kuwakabidhi Vyakula kwa ajili ya Futari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

MZEE Shein Kombo akizungumza kwa niaba ya Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo na kutowa shukrani zao kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi , alipofika kuwasalimia na kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Bi.Mwanamize Nyange akizungumza na kutowa shukrani kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi , alipofika katika Makaazi yao kuwasalimia na kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wazee wa Kijiji cha Welezo Jijini Zanzibar, baada ya kumaliza kuwasalimiana na kuwakabidhi Vyakula mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.