Mkurugenzi Mtendaji
wa Taasisi ya Taqwa Tanzania Dkt.Salha Mohammed Kassi (Katikati) akimkabidhi
mmoja ya walezi wa watoto mayatima, sadaka ya Futari iliyotolewa na TAQWA kwa
mayatima
KATIBU wa Jumuyiya ya
Thafidhi Quran na Maendeleo ya Kiislamu Ole Maalim Sultan Nassor Hamad, akitoa
maelezo kwa walezi na wazazi wanaolea watoto mayatima, kabla ya kugawa futari
kwa wazazi wanaolea vijana hao.
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Taqwa Tanzania Dkt.Salha Mohammed Kassi (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi futari kwa wazazi na walezi wanaolea watoto mayatima Permba.
(Picha na Abdi Suleiman -Pemba)
No comments:
Post a Comment