Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Amefungua Wiki ya Maadhimisho ya Sita ya Utafiti na Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Da es Salaam.

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia,  Profesa Joyce Ndalichako  ( wa pili kushoto) wakipata maelezo kutoka Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Paul Onyango  (kushoto) kuhusu uzalishaji wa vifaranga vya kambale katika Maadhimisho ya Sita ya  wiki ya Utafiti na Ubunifiu  ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kwenye viwanja vya Maktaba Mpya  ya Chuo Kikuu hicho jijini Dar es salaam.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.