RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip
Isdor Mpango alipowasili katika ukumbi wa mkutano Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo akiwa Zanzibar kwa ziara ya Kiserikali.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na
mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip
Isdor Mpango alipofika Ikulu Jijinui Zanzibaer kwa mazungumzo yaliofanyika leo,
akiwa Zanzibar kwa ziara ya Kiserikali
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mgeni
wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Isdor
Mpango, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu akiwa Zanzibar kwa ziara ya Kiserikali.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip
Isdor Mpango (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo,
akiwa Zanzibar kwa ziara ya Kiserikali na (kulia kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira ) Mhe. Suleiman Jafo.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango, baada ya kumaliza mazungumzo
yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, akiwa katika ziara ya
Kiserikali Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni
wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor
Mpango, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni
wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor
Mpango, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment