Habari za Punde

Pemba wajiandaa kukabilliana na wimbi la tatu la Covid 19

WATENDAJI mbali mbali wa sheria Kisiwani Pemba, wakiwa katika mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na wimbi la tatu la Covid 19, mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

AFISA Mdhamini Wizara ya Afisa jinsia, ustawi wa jamii, wazee na watoto Pemba Yakub Mohamed Shoka, akitoa muhtasari wa kikao cha kuandaa  mikakati ya kukabiliana na wimbo la tatu la Covid 19, mkutano uliofanyika mjini chake chake na kuwashirikisha kamati za ulinzi na usalama pemba nzima na watendaji wengine wa serikali.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MAAFISA wa Kamati za ulinzi na usalama Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, kuhusu wimbo la tatu la Covid 19 na mikakati inayopaswa kuchukuliwa katika kukabiliana na wimbo hilo, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Masoud, akifungua mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na wimbi la tatu la Covid 19, mkutano uliowashirikisha kamati za ulinzi na Usalama na watendaji wengine wa serikali Pemba na kufanyika mjini chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAKUU wa Wilaya za Pemba wakifuatilia kwa makini mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na wimbi la tatu la Covid 19, kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Wete Mgeni Khatib Yahaya, katikati mkuu wa wilaya ya Micheweni Kepeteni Mstaafu wa KMKM Mohamed Mussa Seif na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake na Kaimu mkuu wa Wilaya ya Mkoani Abdalla Rashid Ali.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

Mkuu wa tiba dhidi ya maradhi ya mripuko Pemba Dr.Aboud Khamis Maabadi, akiwasilisha mada juu ya hali halisi ya Covid 19 kipindi cha Aprili hadi Juni 2021 Kisiwani Pemba, katika mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na Covid 19 Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akiuliza swali katika mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na Covidi 19, mkutano uliowashirikisha wakuu wa kamati za ulinzi na usalama Pemba na watendaji wengine.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Chake Chake na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Abdalla Rashid Ali, akichangia katika mkutano wa kuandaa mikakati ya kukabiliana na Covid 19, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.